Yeremia 1:1

swh_bibYeremia 1:1

Maneno ya Yeremia mwana wa Hilkia, mmoja wa makuhani katika mji wa Anathothi, katika nchi ya Benyamini.

eng_kjvJeremiah 1:1

The words of Jeremiah the son of Hilkiah, of the priests that were in Anathoth in the land of Benjamin: