swh_bibWaamuzi 5:19
“Wafalme walikuja na kufanya vita; wafalme wa Kanaani walipigana huko Taanaki karibu na maji ya Megido, lakini hawakuchukua fedha wala nyara.
eng_kjvJudges 5:19
The kings came and fought, then fought the kings of Canaan in Taanach by the waters of Megiddo; they took no gain of money.