swh_bibWaamuzi 3:16
Basi Ehudi alikuwa ametengeneza upanga wenye ukatao kuwili, urefu wake ni kama dhiraa moja, akaufunga upanga huo ndani ya nguo yake kwenye paja lake la mkono wa kuume.
eng_kjvJudges 3:16
But Ehud made him a dagger which had two edges, of a cubit length; and he did gird it under his raiment upon his right thigh.