swh_bibWaamuzi 15:8
Akawashambulia kwa ukali kwa mapigo makuu na kuwaua watu wengi sana. Kisha akateremka na kukaa katika ufa kwenye mwamba wa Etamu.
eng_kjvJudges 15:8
And he smote them hip and thigh with a great slaughter: and he went down and dwelt in the top of the rock Etam.