Waamuzi 13:12

swh_bibWaamuzi 13:12

Basi Manoa akamuuliza, “Wakati maneno yako yatakapotimia, masharti ya maisha ya mtoto huyu yatakuwa nini na kazi yake itakuwa ni nini?”

eng_kjvJudges 13:12

And Manoah said, Now let thy words come to pass. How shall we order the child, and how shall we do unto him?