swh_bibWaamuzi 11:38
Baba yake akamwambia, “Waweza kwenda.” Naye akamwacha aende kwa miezi miwili. Hivyo akaondoka pamoja na wasichana wenzake, naye akaulilia ubikira wake huko vilimani kwa sababu asingeolewa kamwe.
eng_kjvJudges 11:38
And he said, Go. And he sent her away for two months: and she went with her companions, and bewailed her virginity upon the mountains.