swh_bibYakobo 3:2
Sisi sote tunajikwaa katika mambo mengi. Ikiwa mtu yeyote hakosei kamwe katika yale anayosema, yeye ni mkamilifu, naye anaweza kuuzuia pia na mwili wake wote.
eng_kjvJames 3:2
For in many things we offend all. If any man offend not in word, the same is a perfect man, and able also to bridle the whole body.