swh_bibYakobo 2:2
Kwa maana kama akija mtu katika kusanyiko lenu akiwa amevaa pete ya dhahabu na mavazi mazuri, pia akaingia mtu maskini mwenye mavazi yaliyochakaa,
eng_kjvJames 2:2
For if there come unto your assembly a man with a gold ring, in goodly apparel, and there come in also a poor man in vile raiment;