Yakobo 2:10

swh_bibYakobo 2:10

Kwa maana mtu yeyote anayeishika sheria yote lakini akajikwaa katika kipengele kimoja tu, ana hatia ya kuivunja sheria yote.

eng_kjvJames 2:10

For whosoever shall keep the whole law, and yet offend in one point, he is guilty of all.