swh_bibYakobo 1:6
Lakini anapoomba, lazima aamini wala asiwe na shaka, kwa sababu mtu aliye na shaka ni kama wimbi la bahari, lililochukuliwa na upepo na kutupwa huku na huku.
eng_kjvJames 1:6
But let him ask in faith, nothing wavering. For he that wavereth is like a wave of the sea driven with the wind and tossed.