swh_bibIsaya 6:6
Ndipo mmoja wa wale maserafi akaruka kunijia akiwa na kaa la moto linalowaka mkononi mwake, ambalo alikuwa amelichukua kwa koleo kutoka madhabahuni.
eng_kjvIsaiah 6:6
Then flew one of the seraphims unto me, having a live coal in his hand, which he had taken with the tongs from off the altar: