swh_bibIsaya 66:16
Kwa maana kwa moto na kwa upanga wake Bwana atatekeleza hukumu juu ya watu wote, nao wengi watakuwa ni wale waliouawa na Bwana.
eng_kjvIsaiah 66:16
For by fire and by his sword will the LORD plead with all flesh: and the slain of the LORD shall be many.