swh_bibIsaya 38:16
Bwana, kwa mambo kama haya watu huishi, nayo roho yangu hupata uzima katika hayo pia. Uliniponya na kuniacha niishi.
eng_kjvIsaiah 38:16
O Lord, by these things men live, and in all these things is the life of my spirit: so wilt thou recover me, and make me to live.