swh_bibIsaya 21:16
Hili ndilo Bwana analoniambia: “Katika muda wa mwaka mmoja, kama vile mtumishi aliyefungwa na mkataba angeihesabu, majivuno yote ya Kedari yatafikia mwisho.
eng_kjvIsaiah 21:16
For thus hath the Lord said unto me, Within a year, according to the years of an hireling, and all the glory of Kedar shall fail: