swh_bibHosea 4:16
Waisraeli ni wakaidi, kama mtamba wa ngʼombe ambaye ni mkaidi. Ni jinsi gani basi Bwana anaweza kuwachunga kama wana-kondoo katika shamba la majani?
eng_kjvHosea 4:16
For Israel slideth back as a backsliding heifer: now the LORD will feed them as a lamb in a large place.