Waebrania 9:7

swh_bibWaebrania 9:7

Lakini ni kuhani mkuu peke yake aliyeingia ndani ya sehemu ya pili ya hema. Tena hii ilikuwa mara moja tu kwa mwaka, na hakuingia kamwe bila damu, ambayo alitoa kwa ajili yake mwenyewe na kwa ajili ya dhambi za watu walizotenda bila kukusudia.

eng_kjvHebrews 9:7

But into the second went the high priest alone once every year, not without blood, which he offered for himself, and for the errors of the people: