swh_bibWaebrania 7:26
Kwa kuwa ilitupasa tuwe na Kuhani Mkuu wa namna hii, yaani, aliye mtakatifu, asiye na lawama, asiye na dosari, aliyetengwa na wenye dhambi na kuinuliwa juu ya mbingu.
eng_kjvHebrews 7:26
For such an high priest became us, who is holy, harmless, undefiled, separate from sinners, and made higher than the heavens;