swh_bibWaebrania 6:13
Mungu alipompa Abrahamu ahadi yake, kwa kuwa hakuwepo mwingine aliyekuwa mkuu kuliko yeye ambaye angeweza kuapa kwa jina lake, aliapa kwa nafsi yake,
eng_kjvHebrews 6:13
For when God made promise to Abraham, because he could swear by no greater, he sware by himself,