swh_bibWaebrania 2:11
Yeye awafanyaye watu kuwa watakatifu, pamoja na hao ambao hufanywa watakatifu, wote hutoka katika jamaa moja. Hivyo Yesu haoni aibu kuwaita ndugu zake.
eng_kjvHebrews 2:11
For both he that sanctifieth and they who are sanctified are all of one: for which cause he is not ashamed to call them brethren,