Waebrania 12:16

swh_bibWaebrania 12:16

Angalieni miongoni mwenu asiwepo mwasherati au mtu asiyemcha Mungu kama Esau, ambaye kwa ajili ya mlo mmoja aliuza haki ya uzaliwa wake wa kwanza.

eng_kjvHebrews 12:16

Lest there be any fornicator, or profane person, as Esau, who for one morsel of meat sold his birthright.