swh_bibWaebrania 11:19
Abrahamu alihesabu kuwa Mungu angaliweza kumfufua Isaki kutoka kwa wafu. Na kwa kusema kwa mfano, alimpata tena Isaki kutoka kwa wafu.
eng_kjvHebrews 11:19
Accounting that God was able to raise him up, even from the dead; from whence also he received him in a figure.