swh_bibWaebrania 10:2
Kama dhabihu hizo zingeweza kuwakamilisha, hazingeendelea kutolewa tena. Kwa kuwa hao waabuduo wangekuwa wametakaswa mara moja tu, wala wasingejiona tena kuwa na dhambi.
eng_kjvHebrews 10:2
For then would they not have ceased to be offered? because that the worshippers once purged should have had no more conscience of sins.