swh_bibWaebrania 10:11
Kila kuhani husimama siku kwa siku akifanya huduma yake ya ibada, na kutoa tena na tena dhabihu zile zile ambazo haziwezi kamwe kuondoa dhambi.
eng_kjvHebrews 10:11
And every priest standeth daily ministering and offering oftentimes the same sacrifices, which can never take away sins: