Mwanzo 50:26

swh_bibMwanzo 50:26

Kwa hiyo Yosefu akafa akiwa na umri wa miaka 110. Baada ya kumtia dawa ili asioze, akawekwa kwenye jeneza huko Misri.

eng_kjvGenesis 50:26

So Joseph died, being an hundred and ten years old: and they embalmed him, and he was put in a coffin in Egypt.