Mwanzo 48:6

swh_bibMwanzo 48:6

Lakini watoto utakaowazaa baada yao watakuwa wako. Katika nchi watakayoirithi, watatambuliwa kwa jina la ndugu zao.

eng_kjvGenesis 48:6

And thy issue, which thou begettest after them, shall be thine, and shall be called after the name of their brethren in their inheritance.