Mwanzo 37:36

swh_bibMwanzo 37:36

Wakati ule ule, Wamidiani wakamuuza Yosefu huko Misri kwa Potifa, mmojawapo wa maafisa wa Farao, aliyekuwa mkuu wa ulinzi.

eng_kjvGenesis 37:36

And the Midianites sold him into Egypt unto Potiphar, an officer of Pharaoh’s, and captain of the guard.