Mwanzo 35:18

swh_bibMwanzo 35:18

Hapo alipopumua pumzi yake ya mwisho, kwa maana alikuwa akifa, akamwita mwanawe Benoni. Lakini babaye akamwita Benyamini.

eng_kjvGenesis 35:18

And it came to pass, as her soul was in departing, (for she died) that she called his name Ben-oni: but his father called him Benjamin.