swh_bibMwanzo 34:12
Niambieni kiasi cha mahari na zawadi nitakayoileta, hata iwe kubwa kiasi gani, nami nitawalipa chochote mtakachodai. Nipeni tu huyu msichana awe mke wangu.”
eng_kjvGenesis 34:12
Ask me never so much dowry and gift, and I will give according as ye shall say unto me: but give me the damsel to wife.