swh_bibMwanzo 30:42
lakini ikiwa wanyama walikuwa wadhaifu hakuziweka hizo fito. Hivyo wanyama wadhaifu wakawa wa Labani, na wanyama wenye nguvu wakawa wa Yakobo.
eng_kjvGenesis 30:42
But when the cattle were feeble, he put them not in: so the feebler were Laban’s, and the stronger Jacob’s.