swh_bibMwanzo 2:3
Mungu akaibariki siku ya saba akaifanya takatifu, kwa sababu katika siku hiyo alipumzika kutoka kazi zote za kuumba alizokuwa amefanya.
eng_kjvGenesis 2:3
And God blessed the seventh day, and sanctified it: because that in it he had rested from all his work which God created and made.