Mwanzo 18:27

swh_bibMwanzo 18:27

Kisha Abrahamu akasema tena: “Sasa kwa kuwa nimekuwa na ujasiri wa kuzungumza na Bwana, ingawa mimi si kitu bali ni mavumbi na majivu;

eng_kjvGenesis 18:27

And Abraham answered and said, Behold now, I have taken upon me to speak unto the Lord, which am but dust and ashes: