Mwanzo 16:1

swh_bibMwanzo 16:1

Basi Sarai, mkewe Abramu, alikuwa hajamzalia watoto. Lakini alikuwa na mtumishi wa kike Mmisri jina lake Hagari,

eng_kjvGenesis 16:1

Now Sarai Abram’s wife bare him no children: and she had an handmaid, an Egyptian, whose name was Hagar.