Wagalatia 3:21

swh_bibWagalatia 3:21

Je basi, sheria inapingana na ahadi za Mungu? La hasha! Kwa maana kama sheria iliyotolewa ingeweza kuwapa watu uzima, basi haki ingepatikana kwa njia ya sheria.

eng_kjvGalatians 3:21

Is the law then against the promises of God? God forbid: for if there had been a law given which could have given life, verily righteousness should have been by the law.