swh_bibWagalatia 1:10
Je, sasa mimi ninatafuta kukubaliwa na wanadamu au kukubaliwa na Mungu? Au nataka kuwapendeza wanadamu? Kama ningekuwa bado najaribu kuwapendeza wanadamu, nisingekuwa mtumishi wa Kristo.
eng_kjvGalatians 1:10
For do I now persuade men, or God? or do I seek to please men? for if I yet pleased men, I should not be the servant of Christ.