swh_bibEzra 10:19
(Wote walitoa nadhiri kwa kuandika kwa mikono yao kuwafukuza wake zao, kwa hatia yao, kila mmoja akatoa kondoo dume kutoka kundini mwake kama sadaka ya hatia.)
eng_kjvEzra 10:19
And they gave their hands that they would put away their wives; and being guilty, they offered a ram of the flock for their trespass.