swh_bibEzekieli 42:8
Wakati safu ya vyumba katika ua wa nje vilikuwa na urefu wa dhiraa hamsini, vile vyumba vilivyokuwa karibu zaidi na Hekalu vilikuwa na urefu wa dhiraa mia moja.
eng_kjvEzekiel 42:8
For the length of the chambers that were in the utter court was fifty cubits: and, lo, before the temple were an hundred cubits.