swh_bibEzekieli 42:10
Upande wa kusini kufuata urefu wa ukuta wa ukumbi wa nje, unaopakana na ukumbi wa Hekalu na kuelekeana na ukuta wa nje, kulikuwa na vyumba
eng_kjvEzekiel 42:10
The chambers were in the thickness of the wall of the court toward the east, over against the separate place, and over against the building.