swh_bibEzekieli 31:7
Ulikuwa na fahari katika uzuri, ukiwa na matawi yaliyotanda, kwa kuwa mizizi yake ilikwenda chini mpaka kwenye maji mengi.
eng_kjvEzekiel 31:7
Thus was he fair in his greatness, in the length of his branches: for his root was by great waters.