swh_bibEzekieli 31:2
“Mwanadamu, mwambie Farao mfalme wa Misri na makundi yake ya wajeuri: “ ‘Je, ni nani awezaye kulinganishwa na wewe katika fahari.
eng_kjvEzekiel 31:2
Son of man, speak unto Pharaoh king of Egypt, and to his multitude; Whom art thou like in thy greatness?