swh_bibEzekieli 29:13
“ ‘Lakini hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Mwishoni mwa hiyo miaka arobaini, nitawakusanya Wamisri kutoka mataifa walikotawanywa.
eng_kjvEzekiel 29:13
¶ Yet thus saith the Lord GOD; At the end of forty years will I gather the Egyptians from the people whither they were scattered: