swh_bibEzekieli 1:11
Hivyo ndivyo zilivyokuwa nyuso zao. Mabawa yao yalikunjuliwa kuelekea juu, kila mmoja alikuwa na mabawa mawili ambayo kila moja liligusa bawa la mwenzake kila upande na mabawa mengine mawili yakifunika mwili wake.
eng_kjvEzekiel 1:11
Thus were their faces: and their wings were stretched upward; two wings of every one were joined one to another, and two covered their bodies.