Ezekieli 19:10

swh_bibEzekieli 19:10

“ ‘Mama yako alikuwa kama mzabibu katika shamba lako la mizabibu uliopandwa kando ya maji, ukiwa unazaa sana na wenye matawi mengi kwa sababu ya wingi wa maji.

eng_kjvEzekiel 19:10

¶ Thy mother is like a vine in thy blood, planted by the waters: she was fruitful and full of branches by reason of many waters.