swh_bibEzekieli 16:30
“ ‘Tazama jinsi ulivyo na dhamiri dhaifu, asema Bwana Mwenyezi, unapofanya mambo haya yote, ukifanya kama kahaba asiyekuwa na aibu!
eng_kjvEzekiel 16:30
How weak is thine heart, saith the Lord GOD, seeing thou doest all these things, the work of an imperious whorish woman;