swh_bibEzekieli 14:19
“Au kama nikipeleka tauni katika nchi hiyo na kumwaga ghadhabu yangu juu yake kwa njia ya kumwaga damu, kuua watu wake na wanyama wao,
eng_kjvEzekiel 14:19
¶ Or if I send a pestilence into that land, and pour out my fury upon it in blood, to cut off from it man and beast: