swh_bibKutoka 36:13
Kisha wakatengeneza vifungo hamsini vya dhahabu, na wakavitumia kufunga na kuunganisha zile fungu mbili za mapazia pamoja ili maskani ipate kuwa kitu kimoja.
eng_kjvExodus 36:13
And he made fifty taches of gold, and coupled the curtains one unto another with the taches: so it became one tabernacle.