swh_bibKutoka 34:19
“Mzaliwa wa kwanza wa kila tumbo ni mali yangu, pamoja na wazaliwa wa kwanza wote wa kiume wa mifugo yako, ikiwa ni wa ngʼombe au wa kondoo au mbuzi.
eng_kjvExodus 34:19
All that openeth the matrix is mine; and every firstling among thy cattle, whether ox or sheep, that is male.