Kutoka 32:35

swh_bibKutoka 32:35

Ndipo Bwana akawapiga watu kwa ugonjwa wa tauni kwa sababu ya yale waliyoyafanya kwa ndama yule ambaye alitengenezwa na Aroni.

eng_kjvExodus 32:35

And the LORD plagued the people, because they made the calf, which Aaron made.