swh_bibKutoka 27:12
“Upande wa magharibi wa ua utakuwa na upana wa dhiraa hamsini, nao utakuwa na mapazia, na nguzo kumi na vitako vyake kumi.
eng_kjvExodus 27:12
¶ And for the breadth of the court on the west side shall be hangings of fifty cubits: their pillars ten, and their sockets ten.