Kutoka 19:1

swh_bibKutoka 19:1

Mnamo mwezi wa tatu baada ya Waisraeli kuondoka Misri, siku kama iyo hiyo, wakafika katika Jangwa la Sinai.

eng_kjvExodus 19:1

In the third month, when the children of Israel were gone forth out of the land of Egypt, the same day came they into the wilderness of Sinai.