Kutoka 12:8

swh_bibKutoka 12:8

Usiku huo huo watakula nyama iliyookwa kwenye moto, pamoja na mboga chungu za majani na mikate isiyotiwa chachu.

eng_kjvExodus 12:8

And they shall eat the flesh in that night, roast with fire, and unleavened bread; and with bitter herbs they shall eat it.